Masuali na majawabu muhimu

Masuali na majawabu muhimu
Nataka kujua Zaidi kuhusu Akademia?


African Islamic Academy inatoa kozi za kisharia na ustadi, na vyeti vilivyoidhinishwa na chuo kikuu cha kimataifa cha Ibnu Katheer.

Kila kozi ina masomo maalum, ni lazima kuziangalia na kuzisikia, na inapendekezwa kusoma rejea kisha ufanye mtihani na utapokea cheti baada ya hapo

Kila kozi ina viwango viwili, na kila kiwango kina masomo kadhaa, na utastahiki kupewa cheti pale utakapofaulu viwango vyote viwili jina la cheti kitasomeka “Diploma ya misingi ya dini na lugha ya kiarabu”

Ingawa masomo ni mengi ila ni rahisi na yenye kuvutia, pia kuna kikosi maalum cha kuweza kujibu maswali yenu muda wowote

Karibu ewe mwanafunzi wetu

Tunamuomba Mwenyezi Mungu ajaalie kutafuta kwenu elimu ni njia ya peponi

Na yale unayoyafanya yawe ni miongoni mwa mambo bora ya uchamngu, Mwenyezi Mungu atakabali amali zenu

Sisi ni wenye furaha kwa kujiunga kwako kwenye chanel yetu ya Telegram
t.me/+uHCc8IyQ83liYjg8

Ili upate msaada wa kiufundi
t.me/+F-6oApevPYEzZWM0

Ni ipi gharama ya masomo? Na cheti hali kadhalika?

Usajili na masomo na cheti ni BURE

Vipi nitajisajili na kushiriki kwenye Akademia?

Usajili ni mwepesi wala hauchukui isipokuwa dakika mbili pekee, bonyeza linki

Andika jina lako kama kwenye vyeti vyako, na nambari ya simu yako na uweke neno tambulishi lako kisha likariri na uweke taarifa zinazotakiwa.

Alama ya kukamilika usajili na kukubaliwa ni kuonekana kwa jina lako juu ya ukurasa

Ukikutana na tatizo lolote, tuma picha yako kwa wasaidizi wa kiufundi ili lishughulikiwe

Nifanye nini baada ya usajili?

Anza kusoma mada ambazo umejisajili kuzisoma ikiwa zimekwisha kupeperushwa

Soma masomo yaliyoandaliwa usome

Bonyeza kozi uliyojisajili kisha soma

Ili upate kusoma kozi, angalia video au sikiliza na inapendekezwa sana kurudia Rejea

Baada ya kusoma kozi, fanya mtihani kwa kubonyeza aikoni ya mtihani

Vipi nitawasiliana nanyi?
Tumefurahi kwa kujiunga kwako nasi

Ili upate kujisajili kwa Akadimia 👇🏻
https://www.aia-academy.com/sw/register

Tunafuraha kuwasiliana nasi kwako kupitia:

-Channel ya whatsapp: https://whatsapp.com/channel/0029VaDJsVIAYlUAyczC8D32

-Facebook : https://www.facebook.com/profile.php?id=100090278140230

-Facebook group : https://www.facebook.com/groups/875934823479901

-Usaidizi wa kiufundi: t.me/+F-6oApevPYEzZWM0

-Telegram group: t.me/+uHCc8IyQ83liYjg8

Youtube: https://www.youtube.com/channel/UCetHQGn7npfwflT1e0efyXg

Tikok: https://www.tiktok.com/@aiaacademy1

Instagram: https://www.instagram.com/aiaacademy55

Nakama muna suala lingine, ni furaha yetu kuwahudumikia

Tunafurahi kuhudumikia wanafunzi

(Mwenye kufuata njia akitafuta elimu, Allah humsahilishia kwa hilo ikawa ni njia ya peponi )

Niipi takwimu ya masomo ya Akademia?

RATIBA YA AFRICAN ISLAMIC ACADEMY
 Siku  Hijiria  GREGORIAN TUKIO  MDA
Ijumaa  09-06-45 2023-12-22  KUISHA KWA DIPLOMA YA MISINGI YA DINI NA KUANZA LIKIZO  WIKI MBILI
 Jumamosi 24-06-45 2024-01-06  KUANZA KWA KIWANGO CHA PILI YA DIPLOMA YA MISINGI YA DINI  WIKI 7
Jumatano 19-07-45 2024-01-31 SIKU YA MWISHO YA SHINDANO KUU LA KWANZA NA KUTANGAZWA MATOKEO NDANI YA WIKI MBILI   
Ijumaa  13-08-45 2024-02-22  KUANZA KWA LIKIZO YA KIWANGO CHA PILI WIKI 
 Jumamosi 21-08-45 2024-03-02  DIPLOMA YA RAMDHANI  WIKI 2
 Jumatano 17-09-45 2024-03-27 KUISHA KWA DIPLOMA YA RAMADHANI PAMOJA NA LIKIZO YAKE NA SIKU KUU YA IIDI WIKI 4
Jumamosi 04-10-45 2024-04-13  UKAMILISHAJI WA KIWANGO CHA KWANZA CHA HATUA YA PILI WIKI 7
Ijumaa  23-11-45 2024-05-31  LIKIZO YA KUISHA KIWANGO CHA KWANZA CHA HATUA YA PILI NA IIDI WIKI 3
 Jumamosi 16-12-45 22-06-2024  KUANZA KWA KIWANGO CHA PILI CHA HATUA YA PILI WIKI 14
Ijumaa  24-03-46 27-09-2024 LIKIZO YA KUKAMILIKA KWA HATUA YA PILI KATIKA VIWANGO ZOTE VIWILI  
Ijumaa  28-04-46 31-10-2024 SIKU YA MWISHO YA SHINDANO LA PILI, MATOKEO KUTANGAZWA NDANI YA WIKI MBILI