Masuali na majawabu muhimu

Masuali na majawabu muhimu
Nataka kujua Zaidi kuhusu Akademia?


African Islamic Academy inatoa kozi za kisharia na ustadi, na vyeti vilivyoidhinishwa na chuo kikuu cha kimataifa cha Ibnu Katheer.

Kila kozi ina masomo maalum, ni lazima kuziangalia na kuzisikia, na inapendekezwa kusoma rejea kisha ufanye mtihani na utapokea cheti baada ya hapo

Kila kozi ina viwango viwili, na kila kiwango kina masomo kadhaa, na utastahiki kupewa cheti pale utakapofaulu viwango vyote viwili jina la cheti kitasomeka “Diploma ya misingi ya dini na lugha ya kiarabu”

Ingawa masomo ni mengi ila ni rahisi na yenye kuvutia, pia kuna kikosi maalum cha kuweza kujibu maswali yenu muda wowote

Karibu ewe mwanafunzi wetu

Tunamuomba Mwenyezi Mungu ajaalie kutafuta kwenu elimu ni njia ya peponi

Na yale unayoyafanya yawe ni miongoni mwa mambo bora ya uchamngu, Mwenyezi Mungu atakabali amali zenu

Sisi ni wenye furaha kwa kujiunga kwako kwenye chanel yetu ya Telegram
t.me/+uHCc8IyQ83liYjg8

Ili upate msaada wa kiufundi
t.me/+F-6oApevPYEzZWM0

Ni ipi gharama ya masomo? Na cheti hali kadhalika?

Usajili na masomo na cheti ni BURE

Vipi nitajisajili na kushiriki kwenye Akademia?

Usajili ni mwepesi wala hauchukui isipokuwa dakika mbili pekee, bonyeza linki

Andika jina lako kama kwenye vyeti vyako, na nambari ya simu yako na uweke neno tambulishi lako kisha likariri na uweke taarifa zinazotakiwa.

Alama ya kukamilika usajili na kukubaliwa ni kuonekana kwa jina lako juu ya ukurasa

Ukikutana na tatizo lolote, tuma picha yako kwa wasaidizi wa kiufundi ili lishughulikiwe

Nifanye nini baada ya usajili?

Anza kusoma mada ambazo umejisajili kuzisoma ikiwa zimekwisha kupeperushwa

Soma masomo yaliyoandaliwa usome

Bonyeza kozi uliyojisajili kisha soma

Ili upate kusoma kozi, angalia video au sikiliza na inapendekezwa sana kurudia Rejea

Baada ya kusoma kozi, fanya mtihani kwa kubonyeza aikoni ya mtihani

Vipi nitawasiliana nanyi?
Tumefurahi kwa kujiunga kwako nasi

Ili upate kujisajili kwa Akadimia 👇🏻
https://www.aia-academy.com/sw/register

Tunafuraha kuwasiliana nasi kwako kupitia:

-Channel ya whatsapp: https://whatsapp.com/channel/0029VaDJsVIAYlUAyczC8D32

-Facebook : https://www.facebook.com/profile.php?id=100090278140230

-Facebook group : https://www.facebook.com/groups/875934823479901

-Usaidizi wa kiufundi: t.me/+F-6oApevPYEzZWM0

-Telegram group: t.me/+uHCc8IyQ83liYjg8

Youtube: https://www.youtube.com/channel/UCetHQGn7npfwflT1e0efyXg

Tikok: https://www.tiktok.com/@aiaacademy1

Instagram: https://www.instagram.com/aiaacademy55

Nakama muna suala lingine, ni furaha yetu kuwahudumikia

Tunafurahi kuhudumikia wanafunzi

(Mwenye kufuata njia akitafuta elimu, Allah humsahilishia kwa hilo ikawa ni njia ya peponi )

Niipi takwimu ya masomo ya Akademia?

 

 

SIKUGregorianHijriyaTukio
Jumamosi2 Rabiʻ II 1446 AH05/10/2024Kuanza kwa Awamu ya tatu
Ijumaa21 Ramadan 1446 AH21/3/2025Kuisha kwa Awamu ya tatu
Jumatano9 Dhuʻl-Qiʻdah 1446 AH07/05/2025Siku ya mwisho ya Shindano kuu la tatu
Jumamosi30 RabiʻII , 1446 AH02/11/2024Uzinduzi wa Diploma ya Ualimu
Jumamosi21 Jumada I ,1446 AH23/11/2024Kuanza kwa Diploma ya Ualimu
Ijumaa15 Shaʻban ,1446 AH14/2/2025Kuisha kwa Diploma Ualimu
Jumatano2 Dhuʻl-Qiʻdah ,1446 AH30/04/2025Siku ya Mwisho ya Shindano kuu la Diploma ya Ualimu