Mashindano ya Tatu
Matokeo ya Mashindano ya Tatu

Mashindano ya Tatu kutoka African Islamic Academy
 Zaidi ya 6,000,000 za kitanzania zikigawiwa kati ya wanafunzi 100 wa Akademia

Sehemu ya kwanza:   

Wanafunzi 50 bora zaidi waliomaliza viwango vitatu( Diploma 23) na wana vyeti vya sekondari, wanafunzi hawa watafanyiwa mlingano wa waliyosoma katika Akademia ili wapate kukamilisha kiwango cha Bachelor katika chuo Kikuu cha kimataifa cha Ibn kathir ndani ya takriban mwaka mmoja na nusu tu.

Sehemu ya pili:
Wanafunzi watano bora zaidi katika Diploma ya juu ya Misingi ya Dini (2) ambao hawakushinda katika kundi lililotangulia:

Wakwanza: Zawadi yake ni (232,500) TZS au inayolingana nazo. 

Wapili: Zawadi yake ni: (201,500) TZS au inayolingana nazo.

Watatu: Zawadi yake ni : (170,500) TZS au inayolingana nazo.

Wanne: Zawadi yake ni: (155,000) TZS au inayolinagana nazo.

Watano: Zawadi yake ni: (124,000)TZS au inayolinga nazo.

Wanafunzi watano bora zaidi katika Diploma ya juu ya Misingi ya Dini ambao hawakushinda katika kundi lililotangulia:

Wakwanza: Zawadi yake ni (229,500) TZS au inayolingana nazo. 

Wapili: Zawadi yake ni:  (198,500) TZS au inayolingana nazo.  

Watatu: Zawadi yake ni : (167,500) TZS  au inayolingana nazo. 

Wanne: Zawadi yake ni: (152,000) TZS au inayolinagana nazo. 

Watano: Zawadi yake ni: (121,000) TZS au inayolinga nazo.  

Wanafunzi watano bora zaidi katika Diploma ya Misingi ya Dini ambao hawakushinda katika kundi lililotangulia:

Wakwanza: Zawadi yake ni (226,500) TZS au inayolingana nazo.

Wapili: Zawadi yake ni:  (195,500) TZS au inayolingana nazo.

Watatu: Zawadi yake ni : (164,500) TZS  au inayolingana nazo.

Wanne: Zawadi yake ni: (149,000) TZS au inayolinagana nazo.

Watano: Zawadi yake ni: (118,000) TZS au inayolinga nazo.

Sehemu ya tatu:

Wanafunzi wawili bora katika kila diploma ishirini na tatu: (Hivyo idadi yao ni: wanafunzi 46)

Wakwanza: zawadi yake ni: (93,000) TZS au inayolingana nazo

Wapili: Zawade yake ni: (62,000) TZS au inayolingana nazo

Vidokezo na Masharti:

Mashindano yatatathminiwa mnamo Dhu’l-Qi’dah 9, 1446 H, sawia na Mei 7, 2025.

 na zawadi zitasambazwa ndani ya wiki tatu kuanzia tarehe hiyo.

-Mtu yeyote ambaye amejiandikisha katika chuo na kumaliza diploma moja au zaidi yumo katika mashindano wala hauhitaji usajili maalum kwa ajili yake, lakini data yake binafsi lazima iwe kamili.

- Mwanafunzi hatapokea zawadi mbili kutoka kwa sehemu mbili tofauti lakini atapokea thamani ya juu ya mpjawapo….